25 nyota zitaanza kuanguka toka mbinguni na vyote vyenye nguvu vinavyokuwa katika mbingu vitatikiswa.
Jeshi lote la anga litaharibika, anga zitakunjamana kama karatasi. Jeshi lake lote litanyauka, kama vile majani ya mizabibu au mitini yanavyonyauka.
“Mara moja kisha mateso ya siku zile, jua litatiwa giza, mwezi hautaangaza, nyota zitaanguka toka mbinguni na vyote vyenye nguvu katika mbingu vitatikiswa.
Nyota za mbinguni zikaanguka katika dunia kama vile matunda mabichi ya muti wa tini yanavyoanguka wakati muti wake unapotikiswa na upepo mukali.