Marko 13:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
20 Na kama Bwana asingepunguza siku zile za mateso, hakuna hata mutu mumoja ambaye angeponyoka kufa. Lakini kwa ajili ya wachaguliwa aliowachagua amezipunguza.
Hata kukibaki sehemu moja ya kumi ya watu, nao vilevile watateketezwa. Hao watakuwa kama muti wa muvinje au wa mwalo ambao shina lake limebaki kisha kukatwa. Shina hilo ni mbegu takatifu ya mwanzo mupya.
Na kama Mungu asingepunguza siku zile za mateso, hakuna hata mutu mumoja angeponyoka kufa. Lakini kwa ajili ya watu wake aliowachagua, yeye atazipunguza.
Kwa maana katika siku zile kutakuwa mateso makubwa yasiyoonekana hata kidogo tangu siku ile Mungu alipoumba ulimwengu mpaka sasa, wala hakutatokea tena mateso kama yale.