18 Mumwombe Mungu kusudi mambo hayo yasitokee katika wakati wa mvua.
Wanawake wenye mimba na wenye kunyonyesha watapata hasara katika siku zile.
Kwa maana katika siku zile kutakuwa mateso makubwa yasiyoonekana hata kidogo tangu siku ile Mungu alipoumba ulimwengu mpaka sasa, wala hakutatokea tena mateso kama yale.