Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 13:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Wanawake wenye mimba na wenye kunyonyesha watapata hasara katika siku zile.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 13:17
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wamama ambao wanakuwa na huruma kubwa, waliwapika watoto wao wenyewe, wakawafanya kuwa chakula chao, wakati watu wangu walipoangamizwa.


Uwaazibu watu hawa, ee Yawe! Lakini utawaazibu namna gani? Uwafanye wanawake wao kuwa tasa; uwafanye wakose maziwa ya kunyonyesha watoto wao!


Basi wakamwuliza Yesu: “Unasikia maneno watoto hawa wanayoyasema?” Yesu akawajibu: “Ndiyo. Lakini hamujasoma Maandiko Matakatifu yanayosema: ‘Kwa vinywa vya watoto wadogo hata wale wanaokuwa wachanga umetangaza sifa zako.’ ”


Na mutu atakayekutiwa katika shamba, asirudi kwake kwa kutwaa nguo yake.


Mumwombe Mungu kusudi mambo hayo yasitokee katika wakati wa mvua.


Wanawake wenye mimba na wenye kunyonyesha watapata hasara katika siku zile! Kwa maana kutakuwa taabu kubwa katika inchi, na Mungu ataonyesha kasirani yake juu ya watu wa taifa hili.


Kwa maana siku zitakuja wakati watu watakaposema: ‘Heri wanawake wanaokuwa tasa, wale waliokosa kuzaa na kunyonyesha!’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ