Marko 13:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200211 Na mutakapokamatwa na kupelekwa kwa kuhukumiwa, musijihangaishe mbele ya wakati juu ya maneno mutakayosema, lakini museme maneno mutakayopewa saa ile ile. Kwa sababu hayatatoka kwenu wenyewe, lakini yatatoka kwa Roho Mutakatifu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |