Marko 12:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
5 Mwenye shamba akatuma tena kwao mutumishi mwingine, nao wakamwua. Na kisha akatuma wengine wengi, nao wale walimaji wakawapiga wamoja na kuwaua wengine.
Ukawavumilia kwa miaka mingi, na kuwaonya kwa njia ya roho wako kwa kupitia manabii wako; hata hivyo hawakusikiliza. Basi ukawaacha ukawatia katika mikono ya mataifa mengine.
“Ewe Yerusalema, Ewe Yerusalema. Wewe unaua manabii na kuwatupia mawe wale ambao Mungu anakutumia. Mara nyingi nilitaka kuwakusanya wakaaji wako kama vile kuku anavyokusanya vitoto vyake chini ya mabawa yake, lakini ninyi hamukutaka!