4 Mwenye shamba akatuma tena kwao mutumishi mwingine. Yule naye, wakamwumiza kwenye kichwa na kumutukana.
Basi Hanuni aliwatwaa wajumbe wale wa Daudi, akawanyoa ndevu na kupasua nguo zao katikati mpaka kwenye matako, kisha akawaacha waende zao,
Mungu wetu ni Mungu mwenye kutuokoa; Bwana wetu Yawe pekee ndiye anayeokoa katika kifo.
Lakini wale walimaji wakamukamata yule mutumishi, wakamupiga na kumurudisha mikono mitupu.
Mwenye shamba akatuma tena kwao mutumishi mwingine, nao wakamwua. Na kisha akatuma wengine wengi, nao wale walimaji wakawapiga wamoja na kuwaua wengine.
Mwenye shamba akatuma tena kwao mutumishi mwingine, lakini wakamupiga vilevile na kumutukana. Kisha wakamurudisha mikono mitupu.