Marko 12:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200232 Yule mwalimu wa Sheria akamwambia Yesu: “Ni vizuri, Ee Mwalimu! Umesema kweli kwamba Mungu ni mumoja peke yake wala hakuna mungu mwingine isipokuwa yeye. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Yawe anasema hivi: Utajiri wa Misri na faida ya uchuuzi za Kushi, pamoja na za watu wa Seba, wale watu warefu sana, zitakuja kwako mwenyewe wewe taifa la Israeli, zote zitakuwa mali yako. Watu hao watakufuata wakifungwa minyororo; watainama mbele yako na kukusihi wakisema: Kwako kuna Mungu wa kweli, wala hakuna Mungu mwingine lakini yeye.