Marko 12:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200226 Na juu ya kufufuka kwa wafu, hamujasoma katika kitabu cha Sheria ya Musa, yale maandiko yanayosema juu ya kichaka kilichowaka moto? Mungu alimwambia Musa: ‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.’ ” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |