23 Sasa, siku wafu watakapofufuka, muke yule atakuwa wa nani; kwa maana wote saba walikuwa wamemwoa?”
Nami niliogopa na kuzani kwamba ulikuwa umenitupa; kumbe, ulisikia kilio changu nilipokuita unisaidie.
na hata kwa wote saba. Wote walimwoa yule mwanamuke, kila mumoja kisha kufa kwa mwenzake, lakini wakakufa bila kuacha watoto. Na kwa mwisho yule mwanamuke akakufa vilevile.
Yesu akawajibu: “Mumedanganyika kwa sababu ya kutojua Maandiko Matakatifu wala uwezo wa Mungu.