20 Basi kulikuwa wandugu saba. Wa kwanza alioa mwanamuke, lakini mutu yule akakufa bila kuacha mutoto.
“Mwalimu, Musa alituamuru: ‘Mutu akiwa na ndugu yake, naye akikufa na kuacha muke wake bila mutoto, yule ndugu yake anapaswa kumwoa yule mujane na kumuzalia ndugu yake marehemu watoto.’
Ndugu wa pili akamwoa yule mwanamuke, naye akakufa vilevile bila kuacha mutoto. Na ikakuwa vile kwa ndugu wa tatu