6 Wakawajibu sawa vile Yesu alivyowaambia, nao watu wale wakawaruhusu kwenda.
watu waliokuwa pale wakawauliza: “Munafanya nini? Kwa nini munamufungua mwana-punda huyu?”
Wakamuletea Yesu yule mwana-punda na kutandika nguo zao juu yake. Kisha Yesu akaikaa juu yake.