5 watu waliokuwa pale wakawauliza: “Munafanya nini? Kwa nini munamufungua mwana-punda huyu?”
akawaambia: “Mwende katika kijiji kinachokuwa mbele yenu. Wakati mutakapofika kule, mara moja mutaona punda amefungwa na mwana-punda akiwa pamoja naye. Muwafungue na kuwaleta.
Basi wakaenda, wakaona mwana-punda amefungwa inje, karibu na mulango wa nyumba pembeni ya barabara. Walipokuwa wakimufungua,
Wakawajibu sawa vile Yesu alivyowaambia, nao watu wale wakawaruhusu kwenda.