Marko 11:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200217 Kisha akawafundisha maneno haya: “Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya maombi kwa mataifa yote.’ Lakini ninyi mumeigeuza kuwa nafasi ya kukutania ya wanyanganyi!” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |