Marko 10:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Lakini wakati Mungu alipowaumba watu wa kwanza, aliwaumba mwanaume na mwanamuke. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Baba zao au kaka zao wakikuja kutulalamikia tutawaambia: “Sisi tunawaomba muwahurumie watu wa Benjamina na kuwaacha watwae hao wanawake; maana hatukupata wanawake wa kutosha katika vita ya Yabesi-Gileadi. Na kwa sababu si ninyi wenyewe muliowapatia hao wabinti zenu, hamutahukumiwa kwamba mumevunja kiapo.”