25 Ni kwepesi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano kuliko tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu.”
Anayetegemea mali zake ataanguka, lakini mwenye haki atastawi kama jani bichi.
Mwetiopia anaweza kubadilisha rangi yake, au chui madoadoa yake? Nanyi muliozoea kufanya mabaya, munaweza namna gani kutenda mema?
Ninyi waongozi vipofu! Munapokunywa, munachuya inzi toka katika vinywaji vyenu, lakini munameza ngamia!
Wanafunzi waliposikia maneno hayo wakazidi kushangaa hata wakaulizana wao kwa wao: “Ni nani basi anayeweza kuokolewa?”
lakini ni kwepesi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano kuliko tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu.”