13 Watu wamoja wakamuletea Yesu watoto kusudi awawekee mikono, lakini wanafunzi wake wakawakaripia watu wale.
Muwakusanye watu wote, muwatakase watu. Muwalete wazee, muwakusanye watoto, hata watoto wanaonyonya. Bwana-arusi na bibi-arusi watoke katika vyumba vyao.
Watu wengi walimukaripia na kumwambia anyamaze, lakini alizidi kulalamika akisema: “Yesu Mwana wa Daudi, unisikilie huruma!”
Yoane akamwambia Yesu: “Mwalimu, tulimwona mutu mumoja akifukuza pepo kwa jina lako, nasi tulimukataza kwa sababu yeye si wa kikundi chetu.”