36 Basi Simoni na wenzake wakaenda kumutafuta.
Kesho yake asubui kulipokuwa kungali giza, Yesu akaamuka, akatoka katika muji na kwenda pahali penye ukiwa, kule akaanza kuomba.
Nao walipomwona wakamwambia: “Watu wote wanakutafuta.”