Maombolezo 5:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Tumewanyooshea Wamisri na Waasuria mikono, kusudi tupate chakula cha kutosha. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Yehu akatoka tena na alipofika katika njia akakutana na Yonadabu mwana wa Rekabu. Yehu akamusalimia, kisha akamwuliza: “Wewe una mawazo sawa na yangu? Utajiunga nami na kunisaidia?” Yonadabu akamujibu: “Ndiyo, nitajiunga nawe.” Yehu akasema: “Basi, unipe mukono wako.” Wakashikana mikono na Yehu akamupandisha ndani ya gari lake.