Maombolezo 5:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 Tunalazimishwa kufanya kazi kama punda, tumechoka, lakini haturuhusiwi kupumzika. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Lakini kama taifa lolote au utawala wowote hautajiweka chini ya mamlaka ya Nebukadneza mufalme wa Babeli, na kukataa kubeba katika shingo yao zile nira atakazowalazimisha kubeba, basi nitaliazibu taifa hilo kwa vita, njaa na magonjwa makali mpaka nitakapoliangamiza kabisa kwa njia yake. –Ni ujumbe wa Yawe.–