Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Maombolezo 4:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Sasa sura zao ni nyeusi kuliko makaa, wanapita katika barabara bila kujulikana; ngozi yao imebanana na mifupa yao, imekauka, imekuwa kama kuni.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Maombolezo 4:8
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mwili wangu umebakia tu mifupa na ngozi, nimeponyoka kisha kupoteza yote.


Walipomwona kwa mbali hawakumutambua. Basi, wakaanza kulalamika na kulia. Wakapasua nguo zao, wakarusha mavumbi katika anga na juu ya vichwa vyao.


Ngozi yangu inakuwa nyeusi na inachubuka, mifupa yangu inaungua kwa homa.


Mwili wake unakonda hata hawezi kutambuliwa, na mifupa yake iliyofichama ikatokea inje.


kwa sababu ya kasirani na hasira yako, maana umeniokota na kunitupilia mbali.


Nimekunjamana kama mufuko wa ngozi katika moshi, hata hivyo sijasahau masharti yako.


Muchana na usiku mukono wako ulinilemea; nguvu zangu zikakwisha, kama maji yanavyokauka wakati wa kipwa.


Mishale yako imenichoma; mukono wako umenigandamiza.


Wengi waliomwona walishituka, kwa vile sura yake ilikuwa imeharibika; hakukuwa tena na umbo la mwanadamu!


Ngozi zetu zinawaka moto kama furu, kwa sababu ya njaa inayotuchoma.


Wanapokaribia, watu wanajaa hofu, nyuso zao zinawaivya.


Munyanganye feza, munyanganye zahabu! Mali yake haina mwisho! Kuna wingi wa kila kitu cha bei kali!


‘Tunawakungutia ninyi hata mavumbi ya muji wenu toka juu ya miguu yetu kuwa ushuhuda juu yenu. Na hata hivi mujue vizuri kwamba Ufalme wa Mungu umewakaribia.’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ