Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Maombolezo 4:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Vijana wa Sayuni walikuwa safi kuliko teluji, walikuwa weupe kuliko maziwa. Miili yao ilikuwa myekundu kuliko mawe ya matumbawe, uso wao kama jiwe la rangi ya samawi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Maombolezo 4:7
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Haiwezi kupimwa kwa zahabu ya Ofiri, wala kwa mawe ya sardoniki au ya yakuti samawi.


Hekima ina bei kali kuliko mawe ya matumbawe na marijani, bei kali yake inashinda bei kali ya ushanga.


Katika ujana wao, wana wetu wakuwe kama mimea iliyostawi vizuri; nao wabinti wetu wakuwe wazuri kama nguzo zilizochongwa kwa kupamba nyumba ya kifalme.


Mimi ni mukosaji tangia kuzaliwa kwangu, mwenye zambi tangia tumbo la mama yangu.


wakamwona Mungu wa Israeli. Chini ya miguu yake kulikuwa kitu kama sakafu ya mawe ya yakuti samawi, kikiwa safi kama mbingu inayoangaa.


Mupenzi wangu ni muzuri na ni mwekundu, anatambulikana kati ya wanaume elfu kumi.


Miguu yake ni kama nguzo za mawe meusi, zilizosimikwa katika misingi ya zahabu. Umbo lake ni kama mulima Lebanoni, ni bora kama miti ya mierezi.


Kisha siku hizo kumi, aliwaangalia akaona kwamba wale vijana waliokula mboga za majani walionekana wenye afya na nguvu kuliko wale wengine wote waliokulishwa chakula cha kifalme.


kwa maana atahesabiwa kuwa mutu mukubwa mbele ya Bwana. Hatakunywa divai wala kinywaji kikali, na atajazwa na Roho Mutakatifu tangu kuzaliwa kwake.


kwa maana utabeba mimba na kuzaa mutoto mwanaume. Nywele za mutoto huyo zisinyolewe hata kidogo, maana atakuwa Munaziri wa Mungu tangu kuzaliwa kwake. Naye ataanza kuwakomboa Waisraeli toka katika mikono ya Wafilistini.”


Lakini aliniambia kwamba nitabeba mimba na kuzaa mutoto mwanaume. Aliniamuru nisikunywe divai au kileo wala kula chochote kinachohesabiwa kuwa kichafu, maana mutoto huyo atakuwa Munaziri wa Mungu tangu kuzaliwa kwake mpaka atakapokufa.”


hakuweza kuvumilia, akamufunulia siri yake, akisema: “Nywele zangu hazijapata kunyolewa hata kidogo. Mimi nimewekwa Munaziri wa Mungu tangu katika tumbo la mama yangu. Kama nikinyolewa nguvu zangu zitanitoka, nami nitakuwa zaifu kama mutu yeyote.”


Hivyo, Yese alituma mutu, naye akaletwa. Yule kijana alikuwa mwenye afya, mwenye macho yenye kungaa na wa kupendeza. Yawe akamwambia Samweli: “Sasa, huyu ndiye; simama umupakae mafuta.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ