Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Maombolezo 4:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Wale waliokula vyakula vinono wanakufa na njaa katika barabara. Waliolelewa na kuvalishwa namna ya kifalme wanafukua kwa mikono kwenye yalala.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Maombolezo 4:5
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wanawake wa Israeli, mumulilie Saulo, aliyewavalisha nguo nyekundu za utukufu, aliyepamba nguo zenu kwa zahabu.


Yule jemadari akawaambia: “Munafikiri kwamba bwana wangu amenituma kutoa ujumbe huu kwa bwana wenu na kwenu tu? Maneno yangu ni vilevile kwa watu wanaoikaa juu ya ukuta! Bado kidogo wao kama vile ninyi watakula mavi yao wenyewe na kunywa mikojo yao wenyewe!”


Wanalowana kwa mvua ya juu ya milima, wanajibanisha kwenye mawe kwa ukosefu wa makimbilio.


Haogopi juu ya jamaa lake wakati wa baridi kali, maana kila mutu yuko na nguo za kutosha.


Watu wa Yerusalema wote wanaugua, wakitafuta chakula; wanatoa vitu vyao vya bei kali kwa kupata chakula, kusudi wajirudishie nguvu zao. Nao muji unalia, Ee Yawe, uniangalie, ona jinsi nilivyogeuka kuwa zaifu.


Naye alitamani sana kula maganda yale nguruwe waliyokula, lakini hakuna mutu aliyemupa nayo.


“Kulikuwa mutu mumoja tajiri aliyezoea kuvaa nguo zenye kuwa laini sana za bei kali zaidi na aliyeishi katika raha siku zote.


Basi mulienda kuangalia nini? Mutu aliyevaa nguo nzuri? Hapana! Wale wanaovaa nguo za bei kali na kuishi katika raha wanakaa katika nyumba za kifalme.


Lakini mujane anayeishi katika tamaa mbaya amekwisha kufa, ijapokuwa angali bado muzima.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ