Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Maombolezo 4:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Hata mbweha wanatoa maziwa, na kuwanyonyesha watoto wao; lakini watu wangu wamekuwa wabaya, wanafanya kama mbuni katika jangwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Maombolezo 4:3
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nilipoamuka asubui na kutaka kumunyonyesha mwana wangu, nikakuta mutoto amekufa. Nilipochunguza sana, nikagundua kwamba hakukuwa mwana wangu niliyemuzaa.”


Fisi watalia ndani ya pango zake, mbweha wataonekana ndani ya nyumba zao za raha. Wakati wa Babeli umekaribia, wala siku zake hazitaongezwa.


Miiba itaota katika pango zake, miiba na michongoma ndani ya kuta zake. Itakuwa makao ya imbwa wa pori, nafasi ya mbuni.


Lakini Yawe anasema: Munafikiri kwamba mama anaweza kumusahau mutoto anayemunyonyesha, wala kumuchukia mutoto wa tumbo lake? Hata kama mama anaweza kumusahau mutoto wake, mimi sitakusahau hata kidogo.


Waadui wao wanavizia maisha yao watauzunguka muji ule kwa vita. Wataleta taabu na masumbuko hata watu watakula wenzao. Nitawafanya wakule miili ya wana na wabinti zao.


Angalia, ee Yawe, uone! Kuna yeyote uliyemutendea kama ulivyotutendea sisi, hata wamama wawakule watoto wao nao makuhani wauawe ndani ya hekalu lako?


Wamama ambao wanakuwa na huruma kubwa, waliwapika watoto wao wenyewe, wakawafanya kuwa chakula chao, wakati watu wangu walipoangamizwa.


Hukohuko katika muji wazazi watawakula watoto wao wenyewe na watoto watawakula wazazi wao. Nitatimiza hukumu zangu juu yenu na watakaobaki wazima nitawasambaza pande zote.


Halafu mutakula watoto wenu, wanaume na wanawake.


hawana zamiri, hawawezi kuaminiwa, hawana upendo wala huruma.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ