Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Maombolezo 4:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Wafalme katika dunia hawakuamini wala wakaaji wowote wa ulimwengu, kwamba mwangamizaji na adui wangeweza kuingia katika milango ya Yerusalema.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Maombolezo 4:12
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Katika siku ya saba ya mwezi wa tano wa mwaka wa kumi na tisa wa utawala wa Nebukadneza mufalme wa Babeli, Nebuzaradani mukubwa wa waaskari walinzi wa mufalme, akaingia Yerusalema.


Sasa mimi nitapigana nanyi: ninyi munaoishi katika bonde, munaokaa kwenye mawe katika uwanja, ninyi munaosema: Nani atasubutu kutushambulia? Nani anayeweza kuingia katika makao yetu?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ