Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Maombolezo 3:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Ingawa ninaita na kuomba musaada anazuiza maombi yangu yasimufikie.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Maombolezo 3:8
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ninalalamika: “Mateso makali!” lakini sijibiwi. Ninaita kwa sauti kubwa, lakini sipati haki yangu.


Ninakulilia, lakini haunijibu, ninasimama kuomba lakini haunisikilizi.


Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Mbona uko mbali sana kwa kunisaidia, mbali na maneno ya kilio changu?


Utengeneze tena maisha yetu, ee Mungu; utuangalie kwa wema, nasi tutaokoka.


Umejifunika hasira yako na kutufuatilia, ukatuua bila huruma.


Umejifunika wingu kusudi maombi yoyote yasipite.


Ee Yawe, nitakulilia mpaka wakati gani, nawe usinisikilize na kunisaidia? Kwa nini ninalia “Mateso makali!” nawe hautuokoi?


Ilipokuwa karibu saa tisa, Yesu akalalamika akisema: “Eli, Eli, lama sabaktani,” maana yake, “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”


Kwa maana kila mutu anayeomba anapewa; anayetafuta anapata, anayepiga hodi anafunguliwa mulango.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ