Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Maombolezo 3:66 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

66 Uwafuatilie kwa hasira na kuwaangamiza toka katika dunia.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Maombolezo 3:66
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Yawe hakukuwa amesema kwamba ataangamiza inchi ya Israeli kabisa, halafu akawaokoa kwa njia ya mufalme Yeroboamu mwana wa Yoasi.


Mbingu ni mali ya Yawe, lakini amewapa wanadamu dunia.


Wakuwe kama maganda yanayopeperushwa na upepo, wakikimbizwa na malaika wa Yawe!


Njia yao ikuwe ya giza na utelezi, wakifukuzwa na malaika wa Yawe!


Ningalisema kama wao, ningalikuwa mwenye uasi kati ya watu wako.


Kutoka maneno ya watoto wadogo, hata wachanga, unaimarisha nguvu mbele ya waadui zako na kuwakomesha waasi na wapinzani wako.


Yawe anasema hivi: Mbingu ni kiti changu cha kifalme, dunia ni kiti cha kupumzikishia miguu yangu. Mutanijengea nyumba ya namna gani basi, pahali nitakapoweza kupumzikia?


Basi, utawaambia hivi: Miungu hiyo ambayo haikuumba mbingu na dunia itaangamia. Itatoweka kabisa toka katika dunia, hapa chini ya mbingu.


Nami nikasema: Lakini wewe Yawe unanielewa vizuri; unikumbuke na kuja kunisaidia. Unilipizie watesaji wangu kisasi. Wewe ni muvumilivu, usiniache niangamie; kumbuka kwamba ninatukaniwa kwa ajili yako.


Umejifunika hasira yako na kutufuatilia, ukatuua bila huruma.


Lakini Waisraeli wametupilia mambo mazuri. Kwa hiyo, sasa waadui watawafuatilia.


Kwa hiyo wakati Yawe, Mungu wenu, atakapowapumzisha kutokana na mashambulio ya waadui zenu wote wanaowazunguka katika inchi ambayo amewapa kuwa urizi wenu na kuishi humo, munapaswa kuangamiza Waamaleki wote.


Yawe atamutenga kutoka kati ya makabila yote ya Israeli apatwe na hasara kufuatana na laana zote za agano zilizoandikwa katika kitabu hiki.


Atawatia wafalme wao katika mikono yenu. Mutawaua, nao watasahaulika. Hakuna mutu yeyote atakayeweza kuwazuia, mpaka mutakapowaangamiza.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ