Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Maombolezo 3:52 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

52 Nimewindwa kama ndege na hao wanaonichukia bila sababu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Maombolezo 3:52
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wanasema maovu juu yangu, na kunishambulia bila sababu.


Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Daudi. Yawe ni kimbilio langu; namna gani basi munaweza kuniambia: “Ruka kama ndege, mpaka kwenye milima,


Wakubwa wananitesa bila sababu, lakini mimi ninaheshimu maneno yako kwa moyo wote.


Tumeponyoka kama ndege katika mutego; mutego umefyatuka, nasi tukaponyoka.


Usiwaache waadui hao wabaya wanisimange, hao wanaonichukia bure, wafurahie mateso yangu.


Maana walinitegea mitego bila sababu; walinichimbia shimo bila neno lolote.


Ninaregea kwa ajili ya kulalamika, na koo langu limekauka. Macho yangu yamefifia, nikikungojea ewe Mungu wangu.


Halafu Yeremia akamwuliza mufalme Zedekia: Nimekukosea nini, au nimewakosea nini watumishi wako au watu hawa, hata unitie katika kifungo?


Ninahuzini sana kuona yale yaliyowapata wabinti wa muji wangu.


Lakini wamefanya hivi kusudi maneno haya yaliyoandikwa katika Sheria yao yatimie: ‘Wamenichukia pasipo sababu.’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ