Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Maombolezo 3:43 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

43 Umejifunika hasira yako na kutufuatilia, ukatuua bila huruma.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Maombolezo 3:43
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hatujakuasi wewe, wala hatujaiacha njia yako.


Ee Yawe, Mungu wa majeshi, mpaka wakati gani utakasirikia maombi ya watu wako?


Kama vile moto unavyoteketeza pori, na ndimi za moto zinavyounguza milima,


Yawe amefanya yale aliyokusudia, ametimiza yale aliyoagiza. Kama alivyopanga tangu kale, ameangamiza bila huruma yoyote. Amewafanya waadui wafurahie azabu yako, amewatukuza mashujaa wa waadui zako.


Maiti za vijana na wazee zimelala ndani ya mavumbi katika barabara, wabinti na vijana wangu wameuawa kwa upanga; umewaua bila huruma siku ya hasira yako.


Uwafuatilie kwa hasira na kuwaangamiza toka katika dunia.


Ingawa ninaita na kuomba musaada anazuiza maombi yangu yasimufikie.


Sitawaachilia wala sitawaonea huruma. Nitawaazibu kulingana na mienendo yenu nayo machukizo yangali bado kati yenu. Halafu mutatambua kwamba ni mimi Yawe ninayewaangamiza.


Kwa sababu ya mambo hayo watasikia uzito wa kasirani yangu. Sitamwacha hata mutu mumoja aponyoke wala sitamwonea huruma mutu yeyote. Hata wakinililia kwa sauti kubwa mimi sitawasikiliza.


Kwa upande wangu, sitawaachilia wala kuwahurumia; nitawatendea kufuatana na matendo yao.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ