4 Amenichakalisha ngozi na nyama, ameivunja mifupa yangu.
Ngozi yangu inakuwa nyeusi na inachubuka, mifupa yangu inaungua kwa homa.
Wanafungua vinywa vyao kama simba, tayari kushambulia na kurarua.
Nilipokuwa sijaitikia zambi yangu, nilikuwa muzaifu sana kwa kulia muchana kutwa.
Wewe unataka moyo wa ukweli; hivyo unifundishe kuwa na moyo wa hekima.
Usiku kucha nililia kwa kuomba musaada; kama simba, anavunjavunja mifupa yangu; muchana na usiku ananikomesha.
Israeli ni kama kondoo wanaowindwa na kufukuzwa na simba. Kwanza waliangamizwa na mufalme wa Asuria, na sasa Nebukadneza mufalme wa Babeli, amevunjavunja mifupa yake.