Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Maombolezo 3:33 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

33 Yeye hapendelei kuwatesa wala kuwahuzunisha wanadamu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Maombolezo 3:33
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mungu Mwenye Uwezo asiyeweza kufikiwa na mutu, uwezo na haki yake ni mukubwa. Amejaa haki wala hapotoshi sheria hata kidogo.


Mbele sijateswa nilikuwa nimepotea, lakini sasa ninashika neno lako.


Nimefaidika kutokana na taabu yangu, maana imeniwezesha kujifunza masharti yako.


Maana Yawe atasimama kama kule kwenye mulima Perasimu; atawaka hasira kama kule katika bonde la Gebeoni. Atatimiza mupango wake wa ajabu; atatenda kazi yake ya ajabu sana.


Wafungwa wote katika inchi wanapoteswa na kupondwa,


Sifurahii kifo cha mutu yeyote. Hivyo mugeuke kusudi mupate kuishi. –Ni ujumbe wa Bwana wetu Yawe.


Basi, uwaambie: Kama vile ninavyoishi, –ni ujumbe wa Bwana wetu Yawe– mimi sikifurahii kifo cha mutu mwovu, lakini ninapenda mutu mwovu aachane na mwenendo wake mubaya, apate kuishi. Mugeuke, muachane na mwenendo wenu mubaya, enyi Waisraeli! Kwa nini munataka kufa?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ