21 Lakini ninakumbuka jambo hili moja, nami ninakuwa na tumaini:
Ninachoka kwa kukungojea uniokoe; ninatumainia neno lako.
Ee Israeli, umutumainie Yawe, maana Yawe ni mwenye wema, naye ana nguvu kubwa ya kutukomboa.
Wema wa Yawe haukomi, huruma zake hazina mwisho.
Maono haya yanangoja wakati uliopangwa; ni maono ya ukweli juu ya mwisho. Kama yanaonekana kuchelewa, uyangojee; hakika yatafika, wala hayatachelewa.