20 Ninafikiri juu ya hayo siku zote, nayo roho yangu imejaa huzuni.
Nikifikiri yaliyonipata ninafazaika, mwili wangu unatetemeka kwa hofu.
anawafungua vipofu macho. Yawe anawainua waliogandamizwa; anawapenda watu wa haki.
Nimepondekana kwa ajili ya matukano yao, wanaponiuliza kila siku: “Mungu wako, yupo wapi?”
Mbona ninahuzunika hivyo katika moyo? Kwa nini ninahangaika hivyo ndani mwangu? Nitamutumainia Mungu, nitamusifu tena yeye anayekuwa musaada wangu na Mungu wangu.
Mbona unajificha mbali nasi, na kusahau taabu na mateso yetu?
Mahangaiko ya moyo wangu yanapozidi, wewe unanifariji na kunifurahisha.