Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Maombolezo 3:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Nimewaza: Nimekata tamaa kabisa, tumaini langu kwa Yawe limetoweka.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Maombolezo 3:18
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

basi, nimebakiliwa na tumaini gani? Ni nani anayeweza kuona tumaini lile?


Sina nguvu ya kuweza kuendelea. Sijui mwisho wangu utakuwa namna gani, nipate kuvumilia.


Hata nilisema kwa hofu yangu: “Wanadamu wote hawawezi kutumainiwa!”


Yawe asifiwe, maana amenionyesha wema wake wa ajabu, nilipozungukwa katika muji unaoshambuliwa.


Kwa hiyo Yawe akaniambia: Wewe mwanadamu! Mifupa hiyo ni mufano wa watu wote wa inchi ya Israeli. Wao, wanasema: Mifupa yetu imekauka, matumaini yetu yamepotea nasi tumekwisha kabisa.


Kwa maana kila mutu anayeomba anapewa; anayetafuta anapata, anayepiga hodi anafunguliwa mulango.


Daudi akajisemesha ndani ya moyo: “Siku moja, Saulo ataniangamiza. Jambo zuri kwangu ni kukimbilia katika inchi ya Wafilistini. Saulo atakata tamaa kunitafuta ndani ya mipaka ya inchi ya Israeli, nami nitakuwa salama kutoka katika mikono yake.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ