Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Maombolezo 3:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Alikuwa kwangu kama dubu anayevizia, kama simba katika maficho.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Maombolezo 3:10
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nikiinua kichwa tu, unaniwinda kama simba na kuniponda tena kwa maajabu yako.


anajificha katika maficho yake kama simba. Anavizia apate kuwakamata wamasikini; anawanasa kwa mutego wake na kuwachukua.


Wako tayari kunirarua kama simba, kama simba mukali anavyovizia nyama.


Usiku kucha nililia kwa kuomba musaada; kama simba, anavunjavunja mifupa yangu; muchana na usiku ananikomesha.


Alinifukuza katika njia yangu, akanirarua na kuniacha ukiwa.


Amezifunga njia zangu kwa mawe makubwa, amepotosha mapito yangu.


Maana mimi nitakuwa kama simba kwa Efuraimu, kama simba mukali kwa watu wa Yuda. Mimi mwenyewe nitawararua na kuondoka, nitawakamata na hakuna atakayewaokoa.


Halafu watasema: Tuende tumurudilie Yawe! Yeye mwenyewe ameturarua, lakini yeye mwenyewe atatuponyosha. Yeye mwenyewe ametuumiza, lakini yeye mwenyewe atatunza vidonda.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ