Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Maombolezo 3:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Mimi ni mutu niliyepata mateso kwa fimbo ya kasirani ya Mungu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Maombolezo 3:1
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Munionee huruma, munionee huruma, enyi warafiki zangu; maana mukono wa Mungu umenigusa.


kwa sababu ya kasirani na hasira yako, maana umeniokota na kunitupilia mbali.


Umeniletea taabu kubwa, lakini utanirudishia tena uzima, wewe utaniinua tena kutoka katika shimo.


Umenitupa mbali katika shimo la wafu, katika giza kubwa.


Alizarauliwa na kukataliwa na watu. Alikuwa mutu wa uchungu na huzuni. Alikuwa kama mutu wa kuchukiza kwa watu; alizarauliwa na tukamwona si kitu.


Basi, wakamutwaa Yeremia wakamutia katika kisima cha Malkia mwana wa mufalme ambacho kilikuwa katika kiwanja cha walinzi. Walimushusha Yeremia ndani kwa kamba. Ndani ya kisima hicho hamukukuwa maji lakini matope, naye Yeremia akazama katika matope.


wanaume, wanawake, watoto, wabinti wa mufalme na kila mutu ambaye Nebuzaradani mukubwa wa waaskari alikuwa amemwachia Gedalia mwana wa Ahikamu mujukuu wa Safanu. Wakamupeleka vilevile nabii Yeremia na Baruku mwana wa Neria.


Mimi ninavunjika moyo, ninaomboleza na kufazaika, kwa sababu watu wangu wameumizwa sana.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ