Maombolezo 2:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Amelibomoa hekalu lake kama kibanda katika bustani, ameharibu pahali pake pa kusanyiko. Amefanya sikukuu na siku ya Sabato visahauliwe kule Sayuni, kwa hasira yake kubwa amewakataa mufalme na makuhani. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |