Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Maombolezo 1:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Utukufu wote wa watu wa Sayuni umetoweka; wakubwa wake wamekuwa kama kulungu wasiokuwa na malisho. Waliwakimbia watesi wao bila nguvu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Maombolezo 1:6
31 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hili ndilo neno Yawe alilosema juu yake: “Watu wa Sayuni wanakuzarau kabisa, watu wa Yerusalema wanakutikisia kichwa kwa kukuchekelea.


Basi, sehemu ya ukuta wa muji ukabomolewa, naye mufalme pamoja na waaskari wote wakakimbia wakati wa usiku wakipitia katika bustani ya mufalme kwenye mulango katikati ya kuta mbili, wakaenda upande wa Araba, ingawa Wababeli walikuwa wameuzunguka muji.


Lakini waaskari wa Babeli wakamufuata mufalme na kumuteka kwenye bonde za Yeriko, nao waaskari wake wote wakamwacha, wakatawanyika.


Kutoka Sayuni, muji muzuri kupita kipimo, Mungu anajitokeza, akiangaza.


Mumwabudu Yawe katika pahali pake patakatifu; tetemeka mbele yake, ee dunia nzima!


Namna gani muji uliokuwa mwaminifu sasa umegeuka kuwa kahaba! Wakati mumoja sheria ya Mungu ilifuatwa kabisa, haki ilikaa ndani yake. Sasa, ni muji wa wauaji.


Mupige vigelegele na kuimba kwa furaha, enyi wakaaji wa Sayuni, maana Mutakatifu wa Israeli ni makubwa kati yenu.


Halafu, kila pahali juu ya mulima Sayuni na juu ya mikutano ya watu atafanya kuwe wingu wakati wa muchana, na moshi na moto unaowaka vizuri wakati wa usiku. Zaidi ya hayo utukufu wa Mungu utaufunika na kuulinda muji wote.


Muambie mufalme na malkia mama yake hivi: Mushuke toka kwenye viti vyenu vya kifalme, maana taji zenu nzuri zimeanguka toka juu ya vichwa vyenu.


Yawe wa majeshi, Mungu wa Israeli anasema hivi juu ya watu wote aliowatoa wapelekwe katika uhamisho kutoka Yerusalema na kwenda Babeli:


Watasikia shindo la kwato za farasi, kelele za magari ya vita, na vishindo vya magurudumu yao. Wababa watawasahau watoto wao, mikono yao itakuwa imeregea sana.


Miji yake itatekwa, kuta zake vilevile. Siku hiyo mioyo ya waaskari wa Moabu itakuwa kama vile moyo wa mwanamuke anayezaa.


Kisha aliyaongoa macho ya Zedekia na kumufunga minyororo, akamupeleka Zedekia Babeli na kumutia katika kifungo mpaka siku alipokufa.


Aliteketeza kwa moto nyumba ya Yawe, nyumba ya kifalme na nyumba zote za Yerusalema; kila nyumba kubwa ilichomwa kwa moto.


Uwaambie Waisraeli kwamba: Bwana wetu Yawe anasema hivi: Nitalichafua hekalu langu, hiyo nyumba ambayo munajivunia na kuitegemea na ambao munafurahi sana kuiona.


Yawe akaniambia hivi: Wewe mwanadamu! Siku ile nitakapoondoa kwao hicho ambacho ni tegemeo lao, na sababu ya shangwe yao, pahali ambapo wanapenda sana kupaona, nitawaondoa wana wao na wabinti zao.


“Yawe atawafanya mushindwe na waadui zenu. Ninyi mutakwenda kuwashambulia kwa njia moja, lakini mutawakimbia kwa njia saba. Nanyi mutakuwa kinyaa kwa watu wote katika dunia.


Mutu mumoja anaweza namna gani kuwashinda watu elfu moja, au watu wawili wanaweza namna gani kuwashinda watu elfu kumi, isipokuwa kama mulinzi wao amewatupa, Yawe amewaacha?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ