Malaki 2:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200217 Mumemuchokesha Yawe kwa maneno yenu matupu. Hata hivyo, munasema: Tumemuchokesha namna gani? Mumemuchokesha munaposema: Yawe anawaona kuwa wazuri watu wanaotenda mabaya; tena anawapenda. Au munapouliza: Yuko wapi yule Mungu mwenye haki? အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |