Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Malaki 2:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Yawe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Ninachukia kuachana. Ninachukia wakati mumoja wenu anapomutendea muke wake ubaya ule. Muhakikishe kwamba hakuna hata mumoja wenu anayekosa uaminifu kwa muke wake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Malaki 2:16
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kiburi kimekuwa kama mukufu katika shingo, mateso makali ni kama nguo yao.


Anayeficha makosa yake hatafanikiwa, lakini anayeungama na kuyaacha atahurumiwa.


Mwana wangu, kwa nini kutekwa na mwanamuke mwasherati? Kwa nini kukumbatia mwanamuke mugeni katika kifua?


Kwenu itakuwa kama anayejinyoosha juu ya kitanda kifupi sana, au kujifunika kwa blanketi inayokuwa ndogo sana!


Yawe anasema hivi: Kama nimeachana na mama yako Yerusalema, barua ya kuachana iko wapi? Nilikuwa na deni ya nani kwa kuwauzisha? Mukumbuke kwamba muliuzishwa kwa ajili ya maovu yenu, mama yenu alifukuzwa kwa ajili ya makosa yenu.


Wavu wenu haufai kama nguo, watu hawawezi kujifunikia munachofuma. Kazi zenu ni kazi za uovu, matendo yenu yote ni mateso makali.


“Kila mutu anayemufukuza muke wake na kuoa mwingine, anazini; na mutu anayemwoa yule muke aliyefukuzwa anazini vilevile.


Kwa wale waliokwisha kuoana, ninatoa amri hii, isiyotoka kwangu, lakini kwa Bwana Mungu: muke hapaswi kuachana na mume wake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ