Wakapiga kura juu ya utaratibu wa kazi, kwa wakubwa kama vile kwa wadogo, kwa walimu kama vile kwa wanafunzi. Haya ndiyo majina ya wakubwa wa vikundi ambao kura iliwaangukia: ya kwanza: Yosefu wa jamaa ya Asafu; ya pili: Gedalia ya tatu: Zakuri ya ine: Isiri ya tano: Netania ya sita: Bukia ya saba: Asarela ya nane: Yesaya ya kenda: Matania ya kumi: Simei ya kumi na moja: Azareli ya kumi na mbili: Hasabia ya kumi na tatu: Sebueli ya kumi na ine: Matitia ya kumi na tano: Yeremoti ya kumi na sita: Hanania ya kumi na saba: Yosibekasa ya kumi na nane: Hanani ya kumi na kenda: Maloti ya makumi mbili: Eliyata ya makumi mbili na moja: Hotiri ya makumi mbili na mbili: Gidalti ya makumi mbili na tatu: Mahasioti ya makumi mbili na ine: Romamuti-Ezeri Kila mukubwa pamoja na watu wengine wa jamaa yake walikuwa kikundi kimoja cha watu kumi na wawili.