Malaki 1:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Waedomu, wale wazao wa Esau, wanasema kwamba ingawa miji yao imeharibiwa, watajenga upya mabomoko yake. Lakini, Yawe wa majeshi anasema hivi: Wanaweza kuijenga upya, lakini mimi nitaibomoa tena. Watu watawaita: Taifa ovu ambalo Yawe amelikasirikia milele. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |