Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 9:56 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

56 Kisha wakaondoka kwenda katika kijiji kingine.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 9:56
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

“Mufanye angalisho, musimuzarau mumoja wa hawa wadogo; kwa sababu ninawaambia kwamba wamalaika wao wanaokuwa mbinguni wako siku zote karibu na Baba yangu anayekuwa mbinguni. [


Kwa maana Mwana wa Mutu alikuja kuokoa yule aliyepotea.]


Kwa maana Mwana wa Mutu hakukuja kutumikiwa, lakini kutumikiana na kutoa maisha yake kusudi awakomboe watu wengi.”


Lakini mimi ninawaambia: musirudishe mabaya kwa mabaya. Kama mutu akikupiga kofi kwa shavu la kuume, umugeuzie shavu la kushoto vilevile.


Kwa maana Mwana wa Mutu alikuja kutafuta na kuokoa yule aliyepotea.”


Lakini Yesu akasema: “Mwache, inatosha!” Akagusa sikio la mutu yule, na kumuponyesha.


Halafu Yesu akasema: “Baba uwasamehe, kwa maana hawajui jambo wanalofanya.” Waaskari wakagawanya nguo zake kwa kuzipigia kura.


Nao walipokuwa katika njia, mutu mumoja akamwambia Yesu: “Nitakufuata popote utakapokwenda.”


Mwizi anakuja tu kwa kuiba, kuua na kuharibu. Mimi nimekuja kusudi watu wapate uzima, ndio uzima wa kweli kabisa.


Mutu akisikia maneno yangu pasipo kuyashika, si mimi nitakayemuhukumu. Kwa maana sikukuja kuhukumu dunia, lakini nilikuja kuiokoa.


Mungu hakumutuma Mwana wake katika ulimwengu kusudi ahukumu ulimwengu, lakini kusudi ulimwengu uokolewe naye.


Usijiachilie kushindwa na ubaya, lakini ushinde ubaya kwa kutenda mema.


Neno hili ni la kuaminiwa nalo linastahili kukubaliwa kabisa: Kristo Yesu alikuja katika dunia kwa kuokoa wenye zambi. Na mimi ni wa kwanza mwenye zambi kati yao,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ