Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 9:39 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

39 Pepo anapomukamata, mara moja mutoto analalamika, na yule pepo anamutikisatikisa kwa nguvu hata pofu inamutoka. Huyo pepo hatoki ndani yake upesi, naye anamutesa sana.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 9:39
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kila wakati yule pepo anapomukamata, anamwangusha chini, na mutoto anatoka pofu na kusaga meno, nao mwili wake unakauka. Niliomba wanafunzi wako wamufukuze yule pepo, lakini hawakuweza.”


Halafu wakamuleta mutoto kwake. Na mara moja yule pepo alipomwona Yesu, akamutikisatikisa yule mutoto kwa nguvu hata akaanguka chini, akagaagaa chini na kutoka pofu.


Yule pepo akalalamika, akamutikisatikisa mutoto kwa nguvu na kutoka ndani yake. Mutoto akaonekana sawa amekufa, hata watu wengi wakaanza kusema kwamba amekufa.


Yesu akamukaripia, akimwamuru hivi: “Nyamaza, na utoke ndani ya mutu huyu!” Na yule pepo akamutupa yule mutu chini mbele ya watu, na kutoka ndani yake pasipo kumwumiza.


Alisema vile kwa sababu Yesu alikuwa amemwamuru huyo pepo, atoke ndani ya yule mutu. Huyo pepo alimukamata mutu yule mara nyingi, na ijapokuwa watu walimufunga na minyororo na vifungo vya chuma kusudi asitoroke, yeye alivikata. Na yule pepo alimusukuma kwenda katika jangwa.


Na mutu mumoja kati ya kundi akalalamika, akisema: “Mwalimu, ninakusihi umwangalie mwana wangu, kwa maana yeye ni mutoto wa pekee!


Niliwasihi wanafunzi wako wamufukuze, lakini hawakuweza.”


Baba yenu ni Shetani, nanyi munataka kutimiza sawa vile huyo baba yenu anavyotamani. Yeye ni mwuaji siku zote, naye hajasimama katika ukweli, kwa sababu ndani yake hakuna ukweli. Wakati anaposema uongo, masemi yake yanatokana na tabia yake, kwa sababu yeye ni mwongo na baba ya uongo.


Mukuwe waangalifu na mukeshe, kwa maana adui yenu Shetani anazungukazunguka kama simba anayenguruma akitafuta yule atakayerarua.


Na mufalme wao, ndiye malaika wa lile shimo ndefu la kuzimu, jina lake liliitwa kwa Kiebrania “Abidani” na kwa kigriki “Apolioni” (maana yake “Mwangamizaji”).


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ