37 Kesho yake, Yesu na wale wanafunzi watatu waliposhuka toka kwa mulima, kundi kubwa la watu wakamufikia.
Na mutu mumoja kati ya kundi akalalamika, akisema: “Mwalimu, ninakusihi umwangalie mwana wangu, kwa maana yeye ni mutoto wa pekee!