36 Nyuma ya kusikilika kwa sauti ile, Yesu akaonekana amebaki peke yake. Wale wanafunzi wakachunga mambo hayo yote kwa siri wala hawakumwambia mutu neno katika siku zile.
wakati wa kupasua na wakati wa kushona, wakati wa kukaa kimya na wakati wa kusema,
Walipokuwa wakishuka toka kwa mulima, Yesu akawaamuru: “Musimwelezee mutu mambo muliyoona mpaka Mwana wa Mutu atakapofufuka.”
Petro hakujua la kusema kwa maana yeye na wenzake waliogopa.