Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 8:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Mbegu zingine zikaanguka katikati ya miiba. Ile miiba ikaota pamoja na mbegu, na kuzisonga.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 8:7
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Udongo utakuzalia miiba na magugu, nawe utakula majani ya shamba.


Yawe anawaambia hivi watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalema: Mulime mashamba yenu mapya; musipande mbegu zenu penye miiba.


Pahali zile mbegu zilipoanguka katika miiba, ni mufano wa wale wanaosikia Neno la Mungu, lakini masumbuko ya dunia hii na udanganyifu wa mali vinasonga lile neno linalokuwa ndani yao na kulizuiza kuzaa matunda.


Mbegu zingine zikaanguka katikati ya miiba. Ile miiba ikaota na kuzisonga.


Mbegu zingine zilianguka katikati ya miiba. Ile miiba ikaota na kuzisonga mbegu hata hazikuweza kutoa kitu.


“Mujilinde vizuri, kusudi musilemewe na kutafuta kula ulafi, kulewa na kusumbukia maisha. Kama si vile, Siku ile ya kurudia kwa Kristo itawafikia kwa rafla


Na mbegu zilizoanguka katika miiba ni mufano wa wale wanaosikia, lakini masumbuko, utajiri na raha ya dunia vinawasonga hata wanashindwa kutoa matunda yanayokomaa.


Zingine zikaanguka kwenye udongo wenye mawe. Nazo zilipoota, mara moja zikakauka kwa sababu ya ukosefu wa maji.


Lakini mbegu zingine zikaanguka katika udongo muzuri; nazo zikaota na kutoa matunda, kila moja punje mia.” Yesu alipokwisha kuwaambia hayo yote, akasema: “Mwenye kuwa na masikio ya kusikia, asikie!”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ