Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 8:40 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

40 Yesu alipovuka kurudia ngambo ingine ya ziwa, watu wengi wakamupokea kwa furaha, kwa sababu wote walikuwa wakimungojea.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 8:40
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Heri mutu anayenisikiliza, anayeikaa kila siku kwenye mulango wangu, anayekesha karibu na milango yangu.


Yesu akaingia katika chombo akavuka tena ziwa kwenda upande wa magaribi, naye akafika katika muji wake.


Daudi mwenyewe anamwita Kristo ‘Bwana’; namna gani basi Kristo anaweza kuwa Mwana wake?” Kundi kubwa la watu walimusikiliza Yesu kwa furaha.


Yesu akavuka ngambo ingine ya ziwa la Galilaya. Alipokuwa pembeni ya ziwa, watu wengi wakakusanyika karibu naye.


Herode alimwogopa Yoane, kwa sababu alijua kwamba Yoane ni mwenye haki na mutakatifu. Kwa hivi alimulinda. Alipenda kumusikiliza, ijapokuwa alifazaika sana kila mara alipomusikia.


Lakini hawakupata namna ya kumwua, kwa sababu watu wote walimusikiliza kwa uangalifu.


Zakayo akashuka mbio na kumukaribisha kwa furaha.


Siku moja, Yesu alisimama pembeni ya ziwa la Genezareti na watu wengi walimusongasonga kusudi wasikie neno la Mungu.


“Rudia kwako na ueleze mambo yote Mungu aliyokutendea.” Basi yule mutu akajiendea, na kutangaza fasi zote katika muji wake mambo Yesu aliyomutendea.


Yoane alikuwa kama taa inayowaka na kuangaza, na ninyi mulipendezwa kufurahishwa na mwangaza wake kwa muda.


Na pale pale nikatuma watu kwako, nawe umefanya vizuri kwa kufika. Sasa sisi wote tuko hapa mbele ya Mungu kwa kusikiliza mambo yote Bwana aliyokuagiza kutuambia.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ