Luka 8:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200210 Akawajibu: “Ninyi mumefunuliwa kujua siri ya Ufalme wa Mungu, lakini kwa watu wengine si vile. Wao wanaambiwa maneno hayo kwa njia ya mifano, kusudi waangalie, lakini wasione kitu, nao wasikie, lakini wasifahamu kitu.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |