Luka 7:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Yesu aliposikia maneno haya, akashangaa sana na yule mukubwa, na kugeukia kundi la watu waliomufuata, na kusema: “Ninawaambia: katika inchi yote ya Israeli sijaona bado mutu anayekuwa na imani kubwa kama huyu.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |